Mchezaji wa Simba Luís Miquissone akishangilia goli kwenye mchezo dhidi ya Kagera Sugar
Mabingwa watetezi wa kombe la Shirikisho Tanzania FA Cup Simba SC watashuka dimbani leo Saa 1:00 Usiku uwanja wa Mkapa kucheza dhidi ya Kagers Sugar katika mchezo wa hatua ya 16 bora ya michuano hii.