Kwa rekodi hizi Kagera hatoki kwa Simba

Mchezaji wa Simba Luís Miquissone akishangilia goli kwenye mchezo dhidi ya Kagera Sugar

Mabingwa watetezi wa kombe la Shirikisho Tanzania FA Cup Simba SC watashuka dimbani leo Saa 1:00 Usiku uwanja wa Mkapa kucheza dhidi ya Kagers Sugar katika mchezo wa hatua ya 16 bora ya michuano hii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS