Shaka arithi mikoba ya Polepole CCM

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi Taifa, Shaka Hamdu Shaka

Shaka Hamdu Shaka amechukua nafasi ya Humphrey Polepole kuwa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi Taifa kuanzia leo Aprili 30, 2021. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS