Shaka arithi mikoba ya Polepole CCM Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi Taifa, Shaka Hamdu Shaka Shaka Hamdu Shaka amechukua nafasi ya Humphrey Polepole kuwa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi Taifa kuanzia leo Aprili 30, 2021. Read more about Shaka arithi mikoba ya Polepole CCM