JKT waliorudishwa nyumbani watakiwa makambini

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Charles Mbuge

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Charles Mbuge, amewataka vijana waliochaguliwa kujiunga na mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2020/2021 na kurejeshwa nyumbani mwezi Februari mwaka huu kurejea makambini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS