Nyalandu atumia Zaburi kurudi CCM 

Lazaro Nyalandu, akizungumza baada ya kurejea Chama cha Mapinduzi (CCM)

Aliyewahi kuwa mwanachama wa CCM na Waziri wa Maliasili na Utalii na kisha baadaye kujiunga na CHADEMA Lazaro Nyalandu, amerudi tena kujiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM), huku akidai kuwa ugenini alikokuwepo alishindwa kuimba wimbo wa Bwana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS