Deo Kithama alichambua vazi la Harmonize

Kulia ni mtangazaji Deon Kithama, kushoto ni msanii Harmonize

Mtangazaji wa kipindi cha Nirvana ya East Africa TV Deogratius Kithama, amelichambua vazi la kijiko,uma na visu vya siagi ambavyo amevaa msanii na CEO wa Konde Music Worldwide Harmonize kwenye video ya wimbo wake wa Attitude.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS