Damien Duff amemponda Eden Hazard

Winga wa zamani wa Chelsea, Darmian Durf (kushoto) na Eden Hazard (kulia).

Winga wa zamani wa Chelsea Damien Duff amemponda Eden Hazard kwa kusema kwamba Hazard Hajawahi kuwa na kiwango cha hali ya juu kama Messi na Ronaldo. Duff ameongeza kusema winga huyo wa Real Madrid anaweza asirudi tena kwenye kiwango chake bora kwani sasa ame nenepa sana tofauti na zamani

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS