Watu 231 mbaroni wakiwemo waganga wanaopiga ramli

Kamanda wa jeshi la polisi Mkoa wa Shinyanga Debora Magiligimba.

Jeshi la polisi Mkoani Shinyanga linawashikilia watuhumiwa 231 kwa tuhuma za kupiga ramli chonganishi na kuwa chanzo cha mauaji ya imani za kishirikina, na kujihusisha  na unyang'anyi wa kutumia silaha na kukata mapanga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS