Askari walioomba rushwa ya Mil. 100 wafukuzwa kazi

Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha ACP Justine Masejo

Jeshi la Polisi mkoa wa Arusha limewafukuza kazi kwa fedheha askari wanne na kuwasimamisha kazi wakaguzi wawili wa polisi ambao wanatuhumiwa kuomba na kupokea rushwa ya shilingi milioni 100. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS