Waziri Ummy amsimamisha kazi Mkurugenzi Temeke

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Ummy Mwalimu

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Ummy Mwalimu amewasimamisha kazi wakurugenzi wawili wa Mamlaka za Serikali za mtaa kuanzia leo Aprili 25, 2021.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS