Mashabiki wa Manchester United waandamana

Baadhi ya mashabiki wa Manchester United walioandamana jioni ya leo wakiwa na bango lenye ujumbe wa kuwataka wamiliki wake waachie ngazi.

Licha ya wamiliki wa klabu ya Manchester United kuomba radhi siku chache zilizopita baada ya kukubali kushiriki kwenye michuano mipya ya European Super Ligi , lakini mamia ya mashabiki wa klabu hiyo wameandama jioni ya leo Aprili 24, 2021 kuutaka uongozi huo uachie ngazi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS