Simba SC vinara VPL, yaing'oa Yanga kileleni

Mfungaji wa bao la pekee kwenye mchezo huu Mohamed Hussein

Mabingwa wa Tanzania bara Simba SC wamekwea mpaka kileleni mwa msimamo wa ligi kuu Tanzania bara kwa mara ya kwanza msimu huu, baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Gwambina na kufikisha alama 58.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS