Biashara ya dhahabu feki yaibuka

Kushoto ni Kaimu Afisa Madini Mkoa wa Simiyu, Mhandisi Joseph Kumburu, Kulia ni madini ya dhahabu (Picha kutoka mtandaoni)

Serikali imewaonya watu wanaojihusisha na utapeli wa kuuza dhahabu feki kwa kutumia vyuma vilivyozungushiwa vumbi la dhahabu kisha kuwauzia watu, kuwa wahusika wote wa biashara hiyo haramu watatiwa nguvuni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS