Yanga inafungika- Saidi Moladi
Kuelekea kwenye mchezo wa Yanga dhidi ya Azam utakaochezwa Jumapili ya April 23, 2021, majira ya saa mbili usiku, mchezaji wa zamani wa Azam, Saidi Moladi amesemea wachezaji wa Azam wanapaswa kuepuka presha na kujitambua ili wapate ushindi.