Hizi ndio sifa za Mwekezaji anayetakiwa Tanzania

Muonekano wa Jengo la Ofisi za Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC).

Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC) imesema kufuatia uwekezaji uliofanywa katika mradi wa Mlimani City unaosimamiwa na mwekezaji Mlimani Holdings Limited kusaidia katika kupatikana kwa ajira zaidi ya elfu mbili na kodi za serikali inatarajia kufungua miradi kama hiyo Dodoma na Arusha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS