Hizi ndio sifa za Mwekezaji anayetakiwa Tanzania
Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC) imesema kufuatia uwekezaji uliofanywa katika mradi wa Mlimani City unaosimamiwa na mwekezaji Mlimani Holdings Limited kusaidia katika kupatikana kwa ajira zaidi ya elfu mbili na kodi za serikali inatarajia kufungua miradi kama hiyo Dodoma na Arusha.