Yanga yakubaliana makubwa na Raja Casablanca
Kaimu khatibu mkuu wa klabu ya Yanga, Haji Mfikirwa amesema wana malengo makubwa ya kuikuza Yanga kwenye Nyanja zote baada ya kusaini mkataba wa ushirikiano na klabu ya Raja Club Athletic ya nchini Morocco siku ya jana Aprili 21, 2021.