Yanga yakubaliana makubwa na Raja Casablanca 

Kaimu Khatibu Mkuu wa Yanga, Haji Mfikirwa (kulia) akisaini mkataba wa ushirikiano na moja ya kiongozi wa klabu ya Raja Casabalanca.

Kaimu khatibu mkuu wa klabu ya Yanga, Haji Mfikirwa amesema wana malengo makubwa ya kuikuza Yanga kwenye Nyanja zote baada ya kusaini mkataba wa ushirikiano na klabu ya Raja Club Athletic ya nchini Morocco siku ya jana Aprili 21, 2021.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS