Anthony Davis arejea kivingine NBA

Nyota wa Los Angeles Lakers, Anthony Davis.

Mcheza kikapu nyota wa timu ya Los Angeles Lakers, Anthony Davis amerejea dimbani alfajiri ya leo wakati timu yake iliponyukwa na Dallas Mavericks kwa alama 115-110 ikiwa ni kwa mara ya kwanza tokea nyota huyo akosekana uwanjani tokea Februari 23, 2021.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS