Simba yazidi kuisogelea Yanga, mbio za ubingwa VPL
Mshambuliaji wa Simba Luís Miquissone akishangilia baada ya kufunga goli
Mabingwa wa Tanzania bara klabu ya simba imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Kagera Sugar katika mchezo wa ligi kuu Tanzania bara uliochezwa katika dimba la kaitba huko Bukoba mkoani kagera.