Wazabuni wa Dawa watakiwa kuwa wazalendo
Wazabuni wa Dawa, Vifaa Tiba na Vitendanishi vya maabara nchini wametakiwa kuzingatia maadili ya biashara ya dawa kwa kuweka mbele suala la uzalendo na ubora ili Serikali kupitia Bohari ya Dawa (MSD) iendelee kuimarisha uhusiano wa manunuzi uliopo baina yao.