Wazabuni wa Dawa watakiwa kuwa wazalendo

Katibu Mkuu, Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto-Idara Kuu Afya, Prof. Abel Makubi wakati akizungumza na wazabuni wa Dawa, Vifaa Tiba na Vitendanishi vya maabara nchini.

Wazabuni wa Dawa, Vifaa Tiba na Vitendanishi vya maabara nchini wametakiwa kuzingatia maadili ya biashara ya dawa kwa kuweka mbele suala la uzalendo na ubora ili Serikali kupitia Bohari ya Dawa (MSD) iendelee kuimarisha uhusiano wa manunuzi uliopo baina yao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS