Prof. Kitila atoa maelekezo BRELA

Waziri wa Viwanda na Biashara Prof. Kitila Mkumbo.

Serikali imewataka watumishi kutoka Wakala wa usajili na utoaji leseni  za biashara BRELA kuongeza kasi, kuboresha mahusiano kwa wafanyabiashara sambamba na kuweka taarifa zote sahihi endapo mtu anahitaji kufungua kampuni ama kuanzisha biashara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS