Prof Jay ampa maelekezo mazito Mwana Fa Bungeni
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mikumi mwaka 2015-2020 na msanii Prof Jay amesema anajua Mbunge wa Jimbo la Muheza, Tanga Mwana Fa ana akili nyingi na ameingia kwenye nafasi ya maamuzi hivyo aendeelee kuimbuka sanaa.