Prof Jay ampa maelekezo mazito Mwana Fa Bungeni

Kushoto ni Mwana Fa kulia Prof Jay

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mikumi mwaka 2015-2020 na msanii Prof Jay amesema anajua Mbunge wa Jimbo la Muheza, Tanga Mwana Fa ana akili nyingi na ameingia kwenye nafasi ya maamuzi hivyo aendeelee kuimbuka sanaa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS