Dk. Hoseah asema Katiba mpya ni kilio cha TLS 

Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Dk. Edward Hoseah

Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Dk. Edward Hoseah amesema suala la Katiba mpya ni kilo cha chama hicho huku akiahidi kukaa pamoja na serikali kuona ni kwa namna gani wanalifanyia kazi suala hilo endapo watapata nafasi hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS