Dk. Hoseah asema Katiba mpya ni kilio cha TLS
Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Dk. Edward Hoseah amesema suala la Katiba mpya ni kilo cha chama hicho huku akiahidi kukaa pamoja na serikali kuona ni kwa namna gani wanalifanyia kazi suala hilo endapo watapata nafasi hiyo.