Mkurugenzi wa Fedha UDART atimuliwa
Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa amemtumbua Mkurugenzi wa Fedha na Maendeleo ya Biashara wa Wakala wa Mabasi yaendayo haraka nchini (UDART) Bi. Suzana Chaula huku akiweka wazi kuwa tatizo lililopo kwenye miradi wa UDART si uwezo bali ni usimamzi mbovu.