Mkurugenzi wa Fedha UDART atimuliwa

Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa (kushoto) akiwa kwenye ziara

Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa amemtumbua Mkurugenzi wa Fedha na Maendeleo ya Biashara wa Wakala wa Mabasi yaendayo haraka nchini (UDART) Bi. Suzana Chaula huku akiweka wazi kuwa tatizo lililopo kwenye miradi wa UDART si uwezo bali ni usimamzi mbovu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS