Simba SC yashinda kwa shida dhidi ya Mwadui Goli la John Bocco dhidi ya Mwadui FC Mabingwa watetezi wa ligi kuu soka Tanzania klabu ya Simba SC imeibuka na ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Mwadui FC, kwenye mchezo uliopigwa kwenye uwanja wa Kambarage Shinyanga jioni ya leo Aprili 18, 2021. Read more about Simba SC yashinda kwa shida dhidi ya Mwadui