Simba SC yashinda kwa shida dhidi ya Mwadui

Goli la John Bocco dhidi ya Mwadui FC

Mabingwa watetezi wa ligi kuu soka Tanzania klabu ya Simba SC imeibuka na ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Mwadui FC, kwenye mchezo uliopigwa kwenye uwanja wa Kambarage Shinyanga jioni ya leo Aprili 18, 2021.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS