''DAWASA na TANESCO kisiwe kisingizio'' - Kunenge

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Aboubakar Kunenge

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Aboubakar Kunenge amezitaka DAWASA na TANESCO kufanya kazi kwa ushirikiano na mkandarasi JASCO Building and Civil Contractor anayejenga Barabara ya Makongo kwa kuondoa miundombinu ya maji na umeme iliyopita kwenye mradi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS