Ndugai atoa tamko kwa Mawaziri na wabunge
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai ameagiza mawaziri, manaibu mawaziri na wabunge, kurudi bungeni mara moja ili kuhudhuria hotuba ya Rais wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan hapo kesho.