Tani 1 za Heroin Zilizokamatwa Kilwa Mkoani Lindi Siku ya Jana April 24,2021
Serikali ya Mkoani Lindi imethibitisha kuwakamata watu 7 raia wa Irani wakiwa na tani moja ya dawa za kulevya aina ya Heroin katika eneo la bahari ya Hindi wilayani Kilwa mkoa wa Lindi.