Raia wa Iran wakamatwa na Heroin Tani 1 Lindi

Tani 1 za Heroin Zilizokamatwa Kilwa Mkoani Lindi Siku ya Jana April 24,2021

Serikali ya Mkoani Lindi imethibitisha kuwakamata watu 7 raia wa Irani wakiwa na tani moja ya dawa za kulevya aina ya Heroin katika eneo la bahari ya Hindi wilayani Kilwa mkoa wa Lindi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS