Simba yaisogelea Yanga kileleni

Mshambuliaji wa Simba Meddie Kagere kwenye mchezo dhidi ya Mtibwa Sugar

Mabingwa wa Tanzania bara Simba SC imepanda mpaka nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi kuu, baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Mtibwa Sugar mchezo uliochezwa jioni ya leo katika dimba la Mkapa Dar es salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS