"Wanasema nioe kwanza, ndio niweze zungumza" Idris

Mchekeshaji Idris Sultan

Mchekeshaji maarufu Bongo Idris Sultan amevunja ukimya kwa kuwaambia wazazi kwamba kuna sehemu wanatakiwa kuhakiki vizuri hasa kwenye masuala ya ndoa kwa sababu watoto wao wanakutana na matatizo makubwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS