"Wanasema nioe kwanza, ndio niweze zungumza" Idris
Mchekeshaji maarufu Bongo Idris Sultan amevunja ukimya kwa kuwaambia wazazi kwamba kuna sehemu wanatakiwa kuhakiki vizuri hasa kwenye masuala ya ndoa kwa sababu watoto wao wanakutana na matatizo makubwa.