Bodi ya Ligi kumpa Heshima Hayati,Dkt.Magufuli

Aliyekuwa rais wa awamu ya tano ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati,Dkt.John Pombe Magufuli.

Meneja wa ligi kuu soka Tanzania Bara, Jonathan Kasano ameiambia EATV kuwa, Ligi hiyo inataraji kurejea tarehe 8, 2021 baada siku 21 za maombolezo za aliyekuwa rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati,Dkt.John Pombe Magufuli kufariki na kuzikwa Machi 17, 2021.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS