Rais Samia afanya uteuzi wa viongozi wanne

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi wanne. Uteuzi umeanza Machi 29, 2021.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS