TFF yafafanua adhabu ya Mwakalebela
Shirikisho la mpira wa miguu nchini 'TFF' limefafanua kuwa adhabu aliyopewa makamu mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Fredrick Mwakalebela kuwa imeegemea kwenye uapnde wake wa uongozi wa klabu na si kwenye masuala mengine ya kama vile kumzuia asifuatilie taarifa za michezo.