TFF yafafanua adhabu ya Mwakalebela

Afisa Habari wa Shirikisho la soka nchini, Clifford Mario Ndimbo.

Shirikisho la mpira wa miguu nchini 'TFF' limefafanua kuwa adhabu aliyopewa makamu mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Fredrick Mwakalebela kuwa imeegemea kwenye uapnde wake wa uongozi wa klabu na si kwenye masuala mengine ya kama vile kumzuia asifuatilie taarifa za michezo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS