Sura mbili za Benzema ndani ya Ufaransa

Karim Benzema akishangilia moja ya magoli yake

Mshambuliaji Karim Benzema ameligawa taifa la Ufaransa kwa sasa kuliko muda wake wote wa maisha yake ya soka, hii ni kutokana na kocha wa timu hiyo Didier Deschamps kusisitiza kauli yake kutomjumuisha tena katika kikosi cha timu ya taifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS