Said Ndemla na Ditram Nchimbi watemwa Taifa Stars
Shirikisho la mpira wa miguu nchini TFF, Kimeweka wazi kikosi cha Taifa Stars kitakachosafiiri leo kuelekea nchini Equatorial Guinea kwa ajili ya mchezo dhidi ya taifa hilo wa kuwania nafasi ya kufuzu michuano ya AFCON ya mwaka 2021 nchini Cametroon.