Abalora apeta ndani ya Black Stars Razak Abalora golikipa wa zamani wa AZAM Aliyekuwa golikipa wa zamani wa Azam Razak Abalora amejumuishwa katika kikosi cha timu ya taifa ya Ghana 'Black Stars' kwa ajili ya michuano ya kufuzu AFCON. Read more about Abalora apeta ndani ya Black Stars