Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza
Mkazi wa Nyakato mkoani Mwanza, Bashiri Mohamed (35), amefikishwa mahakamani na kusomewa shitaka la kuzini na mtoto wake wa kuzaa, analodaiwa kulitenda kati ya Septemba 2023 hadi Februari 15, 2024.