Daraja la Jangwani kuanza kujengwa Jangwani Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema Wizara kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) inatarajia kuanza kutekeleza mradi wa kimkakati wa ujenzi wa daraja la Jangwani jijini Dar es Salaam. Read more about Daraja la Jangwani kuanza kujengwa