Majaliwa atokwa na machozi 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akifuta machozi wakati akiaga mwili wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Magufuli

Waziri Mkuu Mh.Kassim Majaliwa, leo amemwaga chozi wakati akimuaga aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Magufuli, aliyefariki dunia Machi 17, 2021, kwa maradhi ya moyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS