Magufuli alivyoiinua taaluma ya uandishi- Balile
Mwanasheria na Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri, Deodatus Balile, ameeleza mchango mkubwa wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, katika sekta ya habari kuwa ni kuhakikisha uandishi wa habari unakuwa na viwango.