Maneno ya Kala kabla ya kifo cha Rais Magufuli Dkt John Pombe Magufuli, kushoto ni msanii Kala Jeremiah Kupitia EATV & EA Radio Digital, msanii wa HipHop na Mwanaharakati Kala Jeremiah aliwahi kusema ni ngumu kumpata Kiongozi kama Rais Dkt John Pombe Magufuli endapo kama ataaondoka madarakani. Read more about Maneno ya Kala kabla ya kifo cha Rais Magufuli