Marufuku kuwatumia wafungwa 

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Khamis Hamza Chilo akizungumza na askari kutoka Idara taasisi zilizopo chini ya wizara hiyo,mkoani Singida.

Serikali imepiga marufuku wafungwa kutoka Magereza mbalimbali nchini kutumika katika kazi binafsi isipokuwa kwa kufuata utaratibu unaotambulika kisheria.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS