Miche bure kwa wananchi wa mkoa huu

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama miche ya parachichi wakati alipotembelea shamba la Bw. Steven Mlimbira katika kijiji cha Maheve wilayani Njombe, Machi 12, 2021.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu ameziagiza Halmashauri zote za mkoa wa Njombe zinazolima zao la parachichi zianzishe vitalu vya kuotesha miche katika eneo la kuanzia ekari tatu na kuigawa bure kwa wakulima, lengo likiwa ni kuhamasisha wananchi wengi kulima zao hilo na kuongeza uzalishaji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS