Wanawake Mara wafungishwa ndoa na makaburi

Wanawake Perepetua Njiku (Kushoto) na Christina Samwel

Baadhi ya wanawake wilayani Serengeti mkoani Mara, wamelalamikia uwepo wa mila kamdamizi ya kuozeshwa mwanaume aliyefariki dunia maarufu kama ndoa ya makaburi jambo ambalo linawanyima haki na uhuru wa kuchagua mwanaume hivyo kufanya wanawake kuendelea kukandamizwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS