Simba SC yatoa tamko ikisubiri uchunguzi wa CAF

Wachezaji wa Simba SC wenye jezi nyeupe na El Merrikh wenye jezi nyekundu.

Klabu ya soka ya Simba SC kupitia kwa taarifa iliyotolewa na Mtendaji Mkuu wake Barbara Gonzalez, imethibitisha kutuma barua ya malalamiko kwa Shirikisho la Soka barani Afrika juu ya wachezaji wawili wa El Merrikh.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS