Mawakili watakaofanya haya kuchukuliwa hatua

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Humphrey Polepole

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia kwa Katibu wa Itikadi na Uenezi Humphrey Polepole, kimemshukuru Jaji wa Mahakama Kuu Dkt. Ntemi Nimilwa Kilikamajenga, kwa kuahidi kuwashughulikia Mawakili watakaolalamikiwa kufanya kazi zao bila weledi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS