Ujumbe mzito wa Harmonize kwa watoto wa kike

Msanii Harmonize akiwa na mtoto wake wa kike Zulekha

Kuelekea siku ya wanawake duniani, msanii Harmonize ametoa wosia kwa watoto wote wa kike ambapo amewaambia  wawe na maamuzi sahihi kwa wanachotaka kufanya kwenye maisha kwa sababu hakuna kitu kipya kwenye dunia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS