
Msanii Harmonize akiwa na mtoto wake wa kike Zulekha
Akizungumzia hilo kupitia kamera ya EATV & EA Radio Digital, Harmonize amesema akiona mtoto wa kike anakosea basi anahisi kama mwanae Zulekha ndiyo kakosea hivyo amewaomba wafanye vitu kwa wakati sahihi.
"Mtoto wa kike yeyote ambaye ananitazama sasa hivi anatakiwa ajue kwamba yeye ndio ana maamuzi ya kuchagua kutaka kuwa nani lakini hakuna kitu kipya kwenye hii dunia bibi yako, mama, dada na shangazi vyote walishafanya hivyo ni bora kuwa makini na kufanya vitu kwa wakati sahihi" amesema Harmonize
Zaidi mtazame hapa chini kwenye video.