Mama afunguka alivyotumia Mkorogo kwenye matiti

Picha ya Dkt Elizabeth Kilili akiwa kwenye studio za East Africa Radio

Dkt Elizabeth Kilili 'mama wa neema' amefunguka kusema yeye alikuwa mhanga wa kutumia mchanganyiko wa vipodozi katika kipindi cha miaka 18 iliyopita hala ambayo ilimletea madhara makubwa kwake, mtoto wake na mumewe.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS