Wazee waliopata mafao chanzo cha migogoro

Mratibu wa kitengo cha kusuruhisha migogoro na kutetea haki za binadamu kilichoko chini ya Kanisa la KKT Dayosisi ya Kaskazini Magharibi, Naomi Kanyonyi

Migororo ya ndoa imetajwa kuendelea kuongoza katika jamii mkoani Kagera, huku kundi la ndoa zenye umri mfupi hadi miaka mitano likiongoza kwa migogoro na kufuatiwa na kundi la wazee waliostaafu na kupata mafao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS