Wazee waliopata mafao chanzo cha migogoro
Migororo ya ndoa imetajwa kuendelea kuongoza katika jamii mkoani Kagera, huku kundi la ndoa zenye umri mfupi hadi miaka mitano likiongoza kwa migogoro na kufuatiwa na kundi la wazee waliostaafu na kupata mafao.