Idadi wanawake kwenye uwekezaji ni kubwa
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Exaud Kigahe amesema kwa sasa idadi ya wanawake ni kubwa mno katika uwekezaji wa viwanda hivyo, kuwataka wengine ambao hawajajisajili kukamilisha baadhi ya taratibu ili watambulike rasmi katika sekta hiyo.