Jiko la mkaa lauwa Wanafunzi wawili Singida
Wanafunzi wawili waliojulikana kwa majina ya Salome Joseph na Neema Kulwa ambao ni wa kidato cha pili katika shule ya Sekondari Makuru iliyopo kijiji cha Msemembo kata ya Makuru wilayani Manyoni mkoani Singida, wamefariki dunia.