JPM amrejeshea hati ya kiwanja Bibi wa miaka 90

Rais Magufuli

Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli, ameagiza Bi. Elizabeth Sarali mwenye miaka 90, mkazi wa Manyoni mkoani Singida kurudishiwa umiliki wa eneo lake ambalo alipokonywa na kumilikishwa mfanyakazi wa idara ya ardhi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS