Serikali imeokoa shilingi milioni 389-Dkt. Gwajima

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima akimweleza jambo Rais wa Tanzaia Dkt. John Pombe Magufuli.

Wizara ya Afya imeokoa takribani shilingi milioni 389 katika ujenzi wa jengo la Idara ya huduma za wagonjwa wa dharura linalojengwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tabora- Kitete ambalo limewekwa jiwe la msingi na Rais Dkt. John Magufuli.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS