Shamba la miti lilivyowapa faida wananchi wa Chato

Shamba la miti Chato

Leo Januari 27, 2021, Rais Magufuli atazindua shamba la miti lililopo Butengo, Chato Geita, shamba ambalo linaelezwa kuwa mpaka sasa limeshatoa ajira mbalimbali kwa wakazi wa eneo hilo hali iliyopelekea kuongeza uchumi wa mtu mmoja mmoja.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS