Mapya ya CUF kuhusu Maalim Seif Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazee CUF, Mohamed Chunga. Chama cha wananchi (CUF) kimekanusha taarifa zinazosambaa zikidai kuwa chama hicho kimesambaratika na kufa ilihali bado wanachama wa chama hicho wapo wakiendelea na majukumu ya kukijenga chama. Read more about Mapya ya CUF kuhusu Maalim Seif